Followers

Thursday, 16 October 2014

Diamond"nipo tayari kumsaidia Alikiba"



 DIAMOND ASEMA YUPO TAYARI KUMPA COLLABO KIBA.

Msanii wa muziki wa bongo fleva nchini Nasib Abdul (Diamond) amesema yupo tayari kumsaidia collabo Alikiba ili aweze kuendelea kimziki.



Akiongea kupitia xxl ya clouds fm Diamond alijibu swali alilo ulizwa“je upo tayari kufanya collabo na kiba kutokana na tofauti zinazozungumzwa kati yenu?’’, “kama akija kuniomba nipo tayari kumsaidia kama nimeweza kufanya na wasanii wa nje itakuwaje nikatae kufanya na wasanii wetu wa nyumbani...nimeshasaidia wengi so akija yoyote nipo tayari kufanya naye’’.



Alisema Dimond na kuendelea“ kiukweli mi nashafika levo fulani hivyo ni kumtangaza mtukimataifa...’’



Diamond aliya jibu hayo ikiwa ni majibu kwa watanzania kuhusiana na kile kinachozungumzwa kuhusu hali ya sintofahamu kati yao.

0 comments: