Followers

Tuesday, 21 October 2014

WEMA KUACHIA FILAMU 10 KWA MPIGO.

 

Msanii kutoka bongo movie Wema Sepetu,ambaye amejizolea umaarufu hasa kutokana na kazi nzuri anazo endelea kufanya katika tasnia ya filamu, hivi karibuni wema alikuwa katika matayarisho ya kazi zake za filamu ambazo tayari amezimaliza.

Wema Sepetu anatarajia kuachia filamu 10 kwa mpigo sokoni !.....Kwa mujibu wa meneja wake yaani Martin Kadinda akizungumza na Mtanzania Wema anatarajia kuziachia filamu zake kwa mpigo sokoni ambazo kuna mpya na alizotengeneza siku za nyuma kidogo lakini akashindwa kuziingiza sokoni kwa wakati kutokana na sababu maalum ikwemo filamu ya Superstar ambayo ilidaiwa kugharimu shilingi mil.60 hivi na zaidi.

0 comments: