Followers

Tuesday, 14 October 2014

MUUAJI WA WANAWAKE ARUSHA AUAWA



JAMBAZI SUGU KUUAWA MJINI ARUSHA

Hatimaye jambazi sugu lililokuwa likiwaua wanawake jijini Arusha limeuawa,na jeshi la polisi,jambazi huyo aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Abdalah Jumanne.



Jambazi huyo aliye kuwa akitafutwa kwa muda mrefu na jeshi la polisi aliuwa usiku wa kuamkia Octoba, 10 ,ambapo polisi waliamua kufanya msako na hatimaye kufika anapo ishi ambapo majibishano ya risasi yalipelekea kuuawa kwa jambazi huyo.



Akithibitisha kamanda mkuu wa polisi jijini Arusha Liberatus Sabas,amesema kuwa jambazi huyo alitambuliwa na baadhi ya wanawake na pia alifariki muda mchache akiwa anapelekwa hospitali.

0 comments: