Followers

Monday, 11 May 2015

PICHA: JUMBA LA KIFAHARI WALILONUNUA JAYZ NA BEYONCE

 Baada ya kutajwa na jarida la Forbes kuwa miongoni mwa wasanii wa hiphop wenye mali na matajiri zaidi Jayz na mke wake Beyonce wamehamia kwenye jumba la kifahari lenye thamani ya pauni milioni 2.6. Jumba hilo lipo New Orleans Garden, Marekani. Nyumba inavyumba 22.


Jay Z yupo kwenye orodha hio ya Forbes akishikilia namba tatu chini ya Diddy na Dr Dre kwa kuwa na ujaririwa dola milioni 500.
    jayz 6 jayz 8 jayz 9 jayz 10 jayz 11 jayz 12 jayz 17 jayz 19 jayz 20

2
jayz 3
jayz 4

0 comments: