Followers

Thursday, 6 November 2014

SOMA TAARIFA KUHUSU AJALI ILIYOHUSISHA TRENI TAZARA JIJINI DAR ES SALAAM


5ajali5

Hii ni taarifa ya ajali ambayo imegharimu maisha ya Watu kumi na mbili,wakiwemo wanaume sita,wanawake wanne na watoto wawili baada ya basi  mali ya kampuni ya Al-Jabir yenye namba za usajili T 725 ATD kuigonga na treni  ya Shirika la Reli la Tanzania na Zambia(Tazara).

Ajali hiyo imetokea majira ya saa tisa alasiri katika eneo la Kiberege ifakara wilayani kilombero Mkoani Morogoro,Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Sacp Leonard Paulo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

0 comments: