Msiba mwingine tena leo baada ya YP sasa ni mwigizaji Shery mwana.
Tuesday, 21 October 2014
BAADA YA KIFO CHA YP LEO SASA NI MSIBA MWINGINE WA MUIGIZAJI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Reach where you wanna be
Msiba mwingine tena leo baada ya YP sasa ni mwigizaji Shery mwana.
Ni
masaa machache tu yamepita tangu muziki wa kizazi kipya Tanzania, Bongo
Fleva kumpoteza aliyekuwa staa wa muziki huo kutoka kundi la TMK
Wanaume Family, aliyekuwa akifahamika kwa jina la YP, taarifa nyingine
ya simanzi inahusu msiba wa aliyekuwa muigizaji wa Bongo Muvi.
0 comments:
Post a Comment