ASEMA WANATAKA WENYEWE.
Msanii nguli wa filamu Nchini, Muhsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ amekanusha tabia ya wasanii wakubwa kuwaomba rushwa ya ngono wasanii chipukizi na kudai wanaziendekeza wao wenyewe.
Akiongea na mwandishi wetu, Dk. Cheni alisema yeye hajawahi kumuomba msanii rushwa ya ngono, isipokuwa anaamini walio wengi huanzisha mahusiano yaliyo rasmi kwa makubaliano yao kutokana na hisia zinavyowasukuma.
“Sizani
kama ni rushwa ya ngono, naamini wengi wanakubaliana, sehemu ya watu
wengi mnapokutana inatokea watu kupendana na kuwa wapenzi hilo nakubali
sababu ni jambo la kawaida hata wasanii kwa wasanii kupendana, sidhani
kama mtu anaweza kulazimishwa kufanya mapenzi ili acheze filamu, mpaka
watu kufanya tendo hilo wameshakubaliana,” alisema Dk. Cheni.
Staa wa filamu za Kibongo, Muhsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ amekanusha tabia ya wasanii wakubwa kuwaomba rushwa ya ngono wasanii chipukizi na kudai wanaziendekeza wao wenyewe.
Akiongea na mwandishi wetu, Dk. Cheni alisema yeye hajawahi kumuomba msanii rushwa ya ngono, isipokuwa anaamini walio wengi huanzisha mahusiano yaliyo rasmi kwa makubaliano yao kutokana na hisia zinavyowasukuma.
“Sizani
kama ni rushwa ya ngono, naamini wengi wanakubaliana, sehemu ya watu
wengi mnapokutana inatokea watu kupendana na kuwa wapenzi hilo nakubali
sababu ni jambo la kawaida hata wasanii kwa wasanii kupendana, sidhani
kama mtu anaweza kulazimishwa kufanya mapenzi ili acheze filamu, mpaka
watu kufanya tendo hilo wameshakubaliana,” Dk.Cheni alisema
0 comments:
Post a Comment