TAZAMA PICHA ZA MWANAFUNZI ALIYE JICHOMA KISU KISA WIVU WA MAPENZI.
Mwanafunzi wa chuo cha T.I.A tawi la mkoa wa singida Moza kasim Mohamed(20),amejichoma kisu tumboni kwa ajili ya wivu wa mapenzi akidai kuwa amechoshwa na uasaliti wa mpenzi wake anayeitwa Joel ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho hicho.
HIZI HAPA PICHA MWANADADA MOZA***



0 comments:
Post a Comment