Followers

Monday, 11 May 2015

PICHA; YALIYOJIRI KWENYE SHOW YA BONGO ALL STARZ

Tarehe 9/5/2015 ndani ya ukumbi wa Business Park kulifanyika bonge la show iliyopewa jina la Bongo All Starz ambapo ilikuwa na lengo la kuwakutanisha jukwaa moja wasanii wa makundi mawaili yaani Bongo Fleva na Bongo Hip Hop kuonyeshana ujuzi jukwaani. Enjoy...!!





















0 comments: