Followers

Wednesday, 6 May 2015

SI AMBER PEKEE KUMBE HATA WIZ ANAKUMBUKA PENZI LAO..!!

Baada ya Amber Rose, sasa ni zamu ya Wiz Khalifh.

Kumbe sio Amber Rose pekee anayemtamani mtalaka wake wiz khalifah, bali hata hit maker huyo wa black and yellow bado kuna vitu anaviota na kuvimiss kutoka kwa mama Sebastian, kuna maneno kayaimba kupitia remix ya mkwaju wa “someone else”. 

Kwa mujibu wa TMZ Wiz Khalifah ameonyesha hisia zake za wazi juu ya mzazi mwenzie, japo hajataja jina lakini maneno yanashabihiana moja kwa moja na vile alivyovifanya kwa Amber kama vile Nyumba, Mtoto, Pesa pamoja na muda mwingi alioutumia kujenga mahusiano yake mpaka ndoa.
“Thought I had it / All the magic, I couldn’t imagine / Then it all went tragic / Automatically, I’m the bad one / When I was only doing us / Gave you everything, a kid, a house and a wedding ring / Now you talking ‘bout you can do better things / How did we get this way? / How do you entertain that bullshit? / Why do you even care what Instagram got to say? / Now when you see me we don’t act the same / Smiling on TV, trying to hide the pain,” Wiz amerap kwenye ngoma hiyo.

0 comments: