Bomu lililotengenezwa kienyeji kama linavoonekana katika picha.
Kamanda
wa Polisi mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela akipata maelekezo kutoka kwa
mtaaram wa mabomu ambaye ni kamanda wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa
Tanzania(JWTZ) kabla ya kulitegua bomu hili.
Hili ni
eneo la tukio ambalo limezungushiwa mkanda huu wa polisi uliandikwa
hairuhusiwi kupita eneo hili,Lakini chini ya huo mti kama inavyoonekana
katika picha kukiwa na udongo umetifuliwa ndipo mahara ambapo lilitegwa
bomu hili la kutengenezwa kienyeji pia hapo ndipo huwa wanakaa askari wa
Usalama barabarani kwa kujikinga na jua ama kupumzika pindi wanapokuwa
kazini
Bomu lililotengenezwa kienyeji
Mtaalamu toka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania akiweka vifaa vyake vya kutegulia bomu hilo lililo tengenezwa kienyeji.
Mtaalamu
toka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania akiwa anaonyesha kulitegua bomu bila kuleta madhara yoyote yale katika
jamii.
0 comments:
Post a Comment