Followers

Thursday, 13 November 2014

JE UNAKIPAJI CHA KUIGIZA PATA FURSA YA KUWA MSANII MKUBWA LEO SOMA HII.



 

Je unahisi unakipaji cha kuigiza na hujapata nafasi? Kama unacho basi hujachelewa



Mbalamwezi Arts and Entertainment yenye makazi yake jijini Dar es salaam wanakupa nafasi wewe kijana  ambaye unakipaji cha sanaa ya maigizo kufanya kazi pamoja nao katika utengenezaji wa filamu pamoja na tamthiliya mpya zinazo andaliwa hivi sasa.



 



Ukiwa kama kijana mwenye kipaji unatakiwa kufika ulipo ukumbi wa CCM(Ilala mtaa wa arusha Dar es salaam) ni kuanzia Ijumaa  ya tarehe 14 mwezi huu au katika siku za jumatatu, jumatano na Ijumaa hadi ifikapo tarehe 30 mwezi huu kuanzia saa nane mchana na utapokelewa kwa ajili ya kujiunga na kundi hilo.



Usikose nafasi hii adimu itakayo timiza malengo yako ya kufanya kazi na watu maarufu na wazoefu katika tasnia ya filamu.



Jinsi yakufika shuka katika kituo cha daladala cha Amana na utaeleekea lilipo kanisa la Anglicana



                          au



Kwa maelezo zaidi tupigie simu namba: 0715-423017, 0762-820441, 0712-901247 na 0654265397.



                             



                     WAHI SASA KUPATA NAFASI HII YA PEKEE.

0 comments: